UZINDUZI- MON FM SUPER CUP

Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isac Mwakisu  katika picha akiwa na meneja wa Mon FM Radio Erasmus Luziro katika uzinduzi wa MON FM SUPER CUP 2025

Uzinduzi huo ulifanyika July 25, 2025 katika uwanja wa Umoja mjini Kasulu majira ya saa kumi na moja jioni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *